Saturday, October 16, 2010

Ewe mwananchi fanya uamuzi sahihi-AMUA!!

Ewe mwananchi, makala zimeandikwa, katuni zimechorwa, picha zimepigwa, nyimbo zimeimbwa, hotuba zimetolewa. Hakika ni wakati wako sasa kufanya uamuzi sahihi.

"Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 ni baina ya UADILIFU na UFISADI, baina ya UMAKINI na USANII, baina ya HAKI na DHULUMA, baina ya Dr.Slaa na Kikwete, na kwa jimbo la Ubungo chaguo ni moja tu MNYIKA!!"

No comments: