Sunday, April 1, 2012

Hongera Joshua!Hongera CHADEMA!Hongera wananchi!


Hongereni wananchi wa Arumeru Mashariki!

Mmedhihirisha kuwa uongo, ufisadi na usanii hauwezi kushinda ukweli, uadilifu na umakini!

Asanteni kwa kuunganisha nguvu ya umma na makamanda wote mliiongoza mapambano mpaka kimeeleweka.

Nawashukuru kwa kutuongezea nguvu ya kuwawakilisha bungeni kwa sasa, ushindi huu ni ishara ya ushindi wa 2015.

Maslahi ya Umma Kwanza.

No comments: