Thursday, December 6, 2012

MUHIMU: Rufaa ya kupinga ushindi wa Mnyika Ubungo kesho!


Kesho tarehe 7 Disemba 2012 kuanzia saa 3 asubuhi rufaa ya kupinga ushindi wetu wa Ubunge Jimbo la Ubungo itaanza kusikilizwa na jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufani. Kama tulivyotafuta kura pamoja, tukapanga mstari kupiga kura pamoja na tukakesha kuzilinda pamoja tujumuike pamoja kujua hatma ya kura zetu.

Kwa maelekezo au maelezo zaidi wasiliana na;
Aziz Himbuka (0784379542 au 0715379542)

No comments: