Sunday, April 19, 2015

Jana 19 Aprili: Mkutano wa hadhara Musoma


Picha ni mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Kaimu Katibu Mkuu John Mnyika leo jioni Musoma, Uwanja wa Mkendo baada ya asubuhi kuzindua mafunzo ya timu za kampeni, viongozi wa chama na viongozi wa serikali za mitaa kwa kanda ya Serengeti (Mara, Simiyu na Shinyanga), ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kushinda dola na kuongoza serikali, kama yalivyozinduliwa kitaifa na Mwenyekiti wa Taifa hivi karibuni jijini Dar es Salaam.




No comments: